Tuesday 9 February 2010

Mzee Rufinus (75)

Mzee Rufinus (75), akiwa na wanafunzi wenziwe wa skuli ya sekondari ya Kuresoi huko nchini Kenya. Mzee huyu ni mganga wa jadi na anamini kwenda kwake shule pamoja na umri mkubwa alionao kutamsaidia kupata wateja wengi wanaohitaji kutibiwa. (Daily Nation)

No comments:

Post a Comment