Wednesday 10 February 2010

Mzigo wa Terry

http://Google


Ebwana eeh! Huyu ndiye mrembo anayeitwa Vanessa aliyezua sekeseke hadi John Terry kuvuliwa unahodha wa timu ya taifa ya Uingereza. Binti huyo alikuwa ni demu wa rafiki wa Terry, Wyane Bridge ambaye kwa hivi sasa anakipiga katika klabu ya Manchester City.(The Sun).

No comments:

Post a Comment